BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics


See Also

  • BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics
  • BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics. Happy a nice day all of dramaticmusings visitors. This time I will share :"BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics." hopefully you like this BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics.

    BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics


    VERSE 1
     Ni vyepesi kufuata nyayo za upepo
     Kuliko kuukumbata aah
     Kujitoa uwepo na kukupa thamani
     Ambaye ulishindikana
     Ilijulikana kwa kuamini
     Ungebadilika
     Na naamini ulilijua
     Kwa vile nilipenda
     Ikawa sababu ya yote mi kuyavumilia
     Malipo ya ule upendo
     Ikawa [pigo]
     Ikajutia nafsi yangu
     Ukawekeza chuki kwa moyo wangu
     Ikawa [pigo]
     Nakujutia uwepo wako
     Japo niliamini wewe ni wangu kwa kujipa imani
     Changu ni changu
     Dunia ya leo mapito labda
     Kesho ningeipata ile thamani

    CHORUS
     Acha niende utavumilia
     Utavumilia aaah
     Acha niende mimi utavumilia
     Moyo utakusahau
     Acha niende utavumilia
     wangu Utavumilia aaah
     Acha niende
     Utavumilia
     Moyo utakusahau
     Tuluuu eiii eeeh mhhhhh ahhhhh
     Tuluuu eiii eeeh mhhhhh ahhhhh

    VERSE 2
     Heri ya mzigo wa punda
     Kuliko fundo la penzi
     Halibebeki
     Kwao ni sawa chipsi fungu
     Isiyo na hili ingekuweza wapi
     Sikujua w ngao msaliti
     Ni usiri wake
     Nawe mengi ulinificha
     Ndo maana mie
     Nikakupenda vile
     Hivi sababu ilikuwa ni nini?
     Ungeniambia eeh
     Mbona mengi nilitenda juu yako wee
     Ukalipa vile na
     Malipo ya ule upendo
     Ukawa [pigo]
     Ikajutia nafsi yangu
     Ukawekeza chuki kwa moyo wangu
     Ikawa [pigo]
     Nakujutia uwepo wako
     Japo niliamini wewe ni wangu kwa kujipa imani
     Changu ni changu
     Dunia ya leo mapito labda
     Kesho ningeipata ile thamani

    CHORUS
     Acha niende utavumilia
     Utavumilia aaah
     Acha niende mimi utavumilia
     Moyo utakusahau
     Acha niende utavumilia
     wangu Utavumilia aaah
     Acha niende
     Utavumilia
     Moyo utakusahau
     Ukitaka mali zangu nitakuachia
     Kila kitu nitakuachia
     Hata nyumba yangu wee
     Ila mwisho roho yangu utatulia
     Oooh mali zangu nitakuachia
     Hata gari langu nitakuachia
     Moyo wangu mie niachie
     Acha niende utavumilia
     Utavumilia aaah
     Acha niende mimi utavumilia
     Moyo utakusahau
     Acha niende utavumilia
     wangu Utavumilia aaah
     Acha niende
     Utavumilia
     Moyo utakusahau
                        

    You are reading: BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics


    Thanks for your visit to this BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics.

    That's the BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics

    That's the BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics song lyric. We hope you like it. Always visit this blog to find various song lyrics that you need.

    You are reading BARAKAH THE PRINCE - Acha Niende lyrics, Url address: https://dramaticmusings.blogspot.com/2017/04/barakah-prince-acha-niende-lyrics.html